Beki wa kulia wa Atletico Madrid, Juanfran akishangilia baada ya kuifungia penalti ya ushindi timu yake ikishinda kwa penalti 8-7 dhidi ya PSV Eindhoven usiku wa jana Uwanja wa Vicente Calderon mjini Madrid katika mchezo wa marudiano wa 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya. Atletico imetinga Robo Fainali kwa ushindi huo baada ya sare ya 0-0 kwenye mechi zote mbii nyumbani na ugenini PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Roberto De Zerbi warns big-spending Tottenham need time and must improve
'physical condition' and 'organisation' - as boss apologises after crushing
loss to Brentford
-
De Zerbi admitted Spurs did not 'fight in the right way', 'lost too many
duels' and 'made a lot of mistakes'. He also claimed they must improve in
their 'p...
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment