Beki wa kulia wa Atletico Madrid, Juanfran akishangilia baada ya kuifungia penalti ya ushindi timu yake ikishinda kwa penalti 8-7 dhidi ya PSV Eindhoven usiku wa jana Uwanja wa Vicente Calderon mjini Madrid katika mchezo wa marudiano wa 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya. Atletico imetinga Robo Fainali kwa ushindi huo baada ya sare ya 0-0 kwenye mechi zote mbii nyumbani na ugenini PICHA ZAIDI GONGA HAPA
REVEALED: Tyrese Maxey's Game 5 heroics against the Knicks never should
have happened, as the NBA announces referees missed a travel
-
The NBA has stated that officials of Tuesday night's Game 5 between the New
York Knicks and Philadelphia 76ers missed a critical travel on Philadelphia
sta...
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment