Beki wa kulia wa Atletico Madrid, Juanfran akishangilia baada ya kuifungia penalti ya ushindi timu yake ikishinda kwa penalti 8-7 dhidi ya PSV Eindhoven usiku wa jana Uwanja wa Vicente Calderon mjini Madrid katika mchezo wa marudiano wa 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya. Atletico imetinga Robo Fainali kwa ushindi huo baada ya sare ya 0-0 kwenye mechi zote mbii nyumbani na ugenini PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bournemouth close to appointing Rose
-
Bournemouth are close to appointing Marco Rose as Andoni Iraola's
replacement as head coach.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment