Mshambuliaji wa Manchester City, Jesus Navas akiinua mguu juu kugombea mpira na beki wa Dynamo Kiev, Vitaliy Buyalsky katika mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumanne Uwanja wa Etihad mjini Manchester. Timu hizo zilitoka sare ya 0-0 na Man City inatinga Robo Fainali kwa ushindi wa 3-1 iliyopata kwenye mchezo wa kwanza ugenini PICHA ZADI GONGA HAPA
Nigeria’s economy contracted in April, fell to 49.4 –CBN
-
• FG’s reforms only good on paper, says Methodist Church By Uche Usim
Nigeria’s economy slowed down in April 2026 after more than a year of
steady growth...
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment