Mshambuliaji wa Manchester City, Jesus Navas akiinua mguu juu kugombea mpira na beki wa Dynamo Kiev, Vitaliy Buyalsky katika mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumanne Uwanja wa Etihad mjini Manchester. Timu hizo zilitoka sare ya 0-0 na Man City inatinga Robo Fainali kwa ushindi wa 3-1 iliyopata kwenye mchezo wa kwanza ugenini PICHA ZADI GONGA HAPA
Hearts of Oak coach provides update on Glid Otanga ahead of Berekum Chelsea
clash following nose injury
-
Hearts of Oak assistant coach Abdul Rahim Bashiru has provided an update on
midfielder Glid Otanga's injury following a collision in their recent match
aga...
58 minutes ago
0 comments:
Post a Comment