Mshambuliaji wa Manchester City, Jesus Navas akiinua mguu juu kugombea mpira na beki wa Dynamo Kiev, Vitaliy Buyalsky katika mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumanne Uwanja wa Etihad mjini Manchester. Timu hizo zilitoka sare ya 0-0 na Man City inatinga Robo Fainali kwa ushindi wa 3-1 iliyopata kwenye mchezo wa kwanza ugenini PICHA ZADI GONGA HAPA
Terrorists attack Kebbi community, abduct resident, destroy property
-
Suspected terrorists attacked Tsamiya town in Kebbi State on Saturday
night, abducting a resident and destroying several properties.
The post Terrorists ...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment