Mshambuliji Abdul Ramadhani 'Mashine' (kushoto) na Twaha Hamidu 'Noriega' (kulia) wakifanya mazoezi katika kambi ya wiki ya Simba SC mjini Nice, Ufaransa mwaka 1993. Simba iliweka kambi Nice kujiandaa na mchezo wa marudiano wa Robo Fainali ya Kombe la CAF dhidi ya USM El Harrach ya Algeria. Simba ilikwenda kufungwa 2-0 Algeria na kusonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 3-2 baada ya awali kushinda 3-0 Dar es Salaam.
WNBA risks angering fans with Sophie Cunningham message as Fever star
celebrates 30th birthday amid league's trans controversy
-
Cunningham turned 30 years old as the Fever defeated the Atlanta Dream
95-91 in a dramatic overtime thriller on Sunday. She spent the final few
weeks of he...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment