Mshambuliji Abdul Ramadhani 'Mashine' (kushoto) na Twaha Hamidu 'Noriega' (kulia) wakifanya mazoezi katika kambi ya wiki ya Simba SC mjini Nice, Ufaransa mwaka 1993. Simba iliweka kambi Nice kujiandaa na mchezo wa marudiano wa Robo Fainali ya Kombe la CAF dhidi ya USM El Harrach ya Algeria. Simba ilikwenda kufungwa 2-0 Algeria na kusonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 3-2 baada ya awali kushinda 3-0 Dar es Salaam.
USA narrowly avoids humiliating World Baseball Classic elimination as Italy
beats Mexico with historic home run display from captain
-
The star-studded American team, which features big hitters such as Aaron
Judge and Paul Skenes was left facing the risk of elimination from the
tournament ...
17 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment