Mshambuliji Abdul Ramadhani 'Mashine' (kushoto) na Twaha Hamidu 'Noriega' (kulia) wakifanya mazoezi katika kambi ya wiki ya Simba SC mjini Nice, Ufaransa mwaka 1993. Simba iliweka kambi Nice kujiandaa na mchezo wa marudiano wa Robo Fainali ya Kombe la CAF dhidi ya USM El Harrach ya Algeria. Simba ilikwenda kufungwa 2-0 Algeria na kusonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 3-2 baada ya awali kushinda 3-0 Dar es Salaam.
Tottenham's medical staff branded as 'utterly clueless' by some fans over
their handling of Xavi Simons' torn ACL - with 'insane decision' to let
star try to play on despite his injury questioned
-
The fallout of Xavi Simons' season-ending knee injury has left many
Tottenham fans furious with the club's medical staff.
6 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment