Mshambuliji Abdul Ramadhani 'Mashine' (kushoto) na Twaha Hamidu 'Noriega' (kulia) wakifanya mazoezi katika kambi ya wiki ya Simba SC mjini Nice, Ufaransa mwaka 1993. Simba iliweka kambi Nice kujiandaa na mchezo wa marudiano wa Robo Fainali ya Kombe la CAF dhidi ya USM El Harrach ya Algeria. Simba ilikwenda kufungwa 2-0 Algeria na kusonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 3-2 baada ya awali kushinda 3-0 Dar es Salaam.
Ekiti poll: APC applauds Oyebanji, INEC, security agencies
-
APC congratulates Ekiti Governor Biodun Oyebanji on re-election, praises
INEC and security agencies for successful conduct of the poll.
The post Ekiti po...
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment