Mshambuliaji wa Arsenal, Alexis Sanchez (kushoto) akiichezea timu yake ya taifa, Chile jana ikitoa sare ya 1-1 na Colombia katika mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia 2018 Urusi kwa bara la Amerika Kusini mjini Santiago. Bao la Chile lilifungwa na Arturo Vidal wakati la Colombia lilifungwa na James Rodriguez PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jack Grealish returns to training at Everton after five months on the
sidelines - as former England team-mates prepare for World Cup opener
-
Jack Grealish has returned to training after suffering an agonising foot
injury that poured cold water on his hopes of making Thomas Tuchel's
England squad...
16 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment