Beki Mbrazil, David Luiz (kulia) akimkanyaga mchezaji wa Argentina, Lucas Biglia jana katika mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia Amerika Kusini alfajiri ya leo. Luiz alitolewa kwa kadi nyekundu na timu hizo zimetoka sare ya 1-1, bao la wenyeji Argentina likifungwa na Ezequiel Lavezzi wakati la Brazil limefungwa na Lucas Lima PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jack Grealish returns to training at Everton after five months on the
sidelines - as former England team-mates prepare for World Cup opener
-
Jack Grealish has returned to training after suffering an agonising foot
injury that poured cold water on his hopes of making Thomas Tuchel's
England squad...
18 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment