Beki Mbrazil, David Luiz (kulia) akimkanyaga mchezaji wa Argentina, Lucas Biglia jana katika mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia Amerika Kusini alfajiri ya leo. Luiz alitolewa kwa kadi nyekundu na timu hizo zimetoka sare ya 1-1, bao la wenyeji Argentina likifungwa na Ezequiel Lavezzi wakati la Brazil limefungwa na Lucas Lima PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mayhem at end of Nuggets-Timberwolves playoff game as Nikola Jokic sparks
huge brawl after Jaden McDaniels' controversial act
-
As his team moved 3-1 ahead in the series, Timberwolves star Jaden
McDaniels angered Nuggets rival Nikola Jokic when he ran through
unchallenged and scored...
28 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment