Kipa wa Arsenal, Petr Cech (kulia) akizungumza na mchezaji mwenzake Mikel Arteta baada ya kujifunga kipindi cha kwanza katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa The Hawtorns dhidi ya wenyeji West Bromwich Albion. WBA imeshinda 2-1, bao lake lingine likifungwa na James Morrison, wakati la Arsenal limefungwa na Olivier Giroud PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mel Kiper 2024 NFL Draft Big Board: Odunze Tops Nabers in Final 150-Player
Rankings
-
Momentum is building for Rome Odunze to be the second receiver off the
board in the 2024 NFL draft. ESPN's Mel Kiper moved Odunze to No. 4 on his
final big…
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment