Kevin De Bruyne (kulia) akishangilia na wachezaji wenzake Raheem Sterling (katikati) na Sergio Aguero baada ya kuifungia Manchester City katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Southampton Uwanja wa Etihad jioni ya leo mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya City yamefungwa na Fabian Delph na Aleksandar Kolarov, wakati la Southampton limefungwa na Shane Long. City inarejea kileleni mwa Ligi Kuu, ingawa inaweza kushuka baada ya mchezo kati ya Leicester City na Manchester United unaoendelea sasa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea vs Everton - Premier League: Live score, team news and updates as
Blues look to boost chances of Champions League qualification with a win
-
Follow Mail Sport's live blog for the latest score, team news and updates
as Chelsea host Everton at Stamford Bridge in the Premier League.
39 minutes ago
0 comments:
Post a Comment