• HABARI MPYA

    Saturday, November 28, 2015

    MAN CITY YAITANDIKA SOUTHAMPTON 3-1 NA KUREJEA KILELENI ENGLAND

    Kevin De Bruyne (kulia) akishangilia na wachezaji wenzake Raheem Sterling (katikati) na Sergio Aguero baada ya kuifungia Manchester City katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Southampton Uwanja wa Etihad jioni ya leo mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya City yamefungwa na Fabian Delph na Aleksandar Kolarov, wakati la Southampton limefungwa na Shane Long. City inarejea kileleni mwa Ligi Kuu, ingawa inaweza kushuka baada ya mchezo kati ya Leicester City na Manchester United unaoendelea sasa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAN CITY YAITANDIKA SOUTHAMPTON 3-1 NA KUREJEA KILELENI ENGLAND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top