Kevin De Bruyne (kulia) akishangilia na wachezaji wenzake Raheem Sterling (katikati) na Sergio Aguero baada ya kuifungia Manchester City katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Southampton Uwanja wa Etihad jioni ya leo mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya City yamefungwa na Fabian Delph na Aleksandar Kolarov, wakati la Southampton limefungwa na Shane Long. City inarejea kileleni mwa Ligi Kuu, ingawa inaweza kushuka baada ya mchezo kati ya Leicester City na Manchester United unaoendelea sasa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cristiano Ronaldo 'will miss Man United's final game of the season with a hip flexor issue'
-
The Red Devils face Crystal Palace at Selhurst Park on the final day of the
Premier League on Sunday in a bid to finish above West Ham in sixth and
clinch ...
Dakika 16 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni