Kevin De Bruyne (kulia) akishangilia na wachezaji wenzake Raheem Sterling (katikati) na Sergio Aguero baada ya kuifungia Manchester City katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Southampton Uwanja wa Etihad jioni ya leo mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya City yamefungwa na Fabian Delph na Aleksandar Kolarov, wakati la Southampton limefungwa na Shane Long. City inarejea kileleni mwa Ligi Kuu, ingawa inaweza kushuka baada ya mchezo kati ya Leicester City na Manchester United unaoendelea sasa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Will Still announces he is LEAVING Lens to be closer to his Sky Sports
presenter girlfriend after she revealed she has a brain infection following
cancer battle
-
Still, who has spent the majority of his coaching career outside of
England, has been linked with clubs in the Premier League and the
Championship.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment