Kevin De Bruyne (kulia) akishangilia na wachezaji wenzake Raheem Sterling (katikati) na Sergio Aguero baada ya kuifungia Manchester City katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Southampton Uwanja wa Etihad jioni ya leo mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya City yamefungwa na Fabian Delph na Aleksandar Kolarov, wakati la Southampton limefungwa na Shane Long. City inarejea kileleni mwa Ligi Kuu, ingawa inaweza kushuka baada ya mchezo kati ya Leicester City na Manchester United unaoendelea sasa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jack Grealish returns to training at Everton after five months on the
sidelines - as former England team-mates prepare for World Cup opener
-
Jack Grealish has returned to training after suffering an agonising foot
injury that poured cold water on his hopes of making Thomas Tuchel's
England squad...
22 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment