Kevin De Bruyne (kulia) akishangilia na wachezaji wenzake Raheem Sterling (katikati) na Sergio Aguero baada ya kuifungia Manchester City katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Southampton Uwanja wa Etihad jioni ya leo mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya City yamefungwa na Fabian Delph na Aleksandar Kolarov, wakati la Southampton limefungwa na Shane Long. City inarejea kileleni mwa Ligi Kuu, ingawa inaweza kushuka baada ya mchezo kati ya Leicester City na Manchester United unaoendelea sasa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool vs Crystal Palace - Premier League LIVE: Arne Slot's side eye
fourth while Tottenham go in search of their first win of the year at
relegated Wolves as rivals West Ham host Everton
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for Saturday's 3pm Premier League games
featuring Liverpool vs Crystal Palace, Wolves vs Tottenham and West Ham vs
Ever...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment