• HABARI MPYA

    Sunday, November 22, 2015

    WIKIENDI YA 'NNE NNE', SPURS NAYO YAIBUGIZA WEST HAM 4-1 ENGLAND

    Danny Rose wa Tottenham Hotspur akimtoka Diafra Sakho wa West Ham United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa White Hart Lane. Spurs imeshinda 4-1, mabao yake yakifungwa na Harry Kane mawili, Toby Alderweireld na Kyle Walker moja kila mmoja, huku la West Ham likifungwa na Manuel Lanzini PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: WIKIENDI YA 'NNE NNE', SPURS NAYO YAIBUGIZA WEST HAM 4-1 ENGLAND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top