Mshindi wa Airtel Trace Music Stars, Mayunga Nalimi akiongea na waandishi (hawapo pichani) wakati wa tukio la kumuaga kwa ajili ya kwenda kurekodi video ya muziki na kupata mafunzo toka kwa mwanamuziki wa kimataifa Akon nchini Marekani. hafla fupi ya kumuaga iliyofanyika katika makao makuu ya ofisi ya Airtel Morocco jijini Dar Es Salaam. Katikati ni Afisa uhusiano wa Airtel Tanzania, Jane Matinde, akifatiwa na Mwalimu wa sauti Tony Joet.
Jack Grealish returns to training at Everton after five months on the
sidelines - as former England team-mates prepare for World Cup opener
-
Jack Grealish has returned to training after suffering an agonising foot
injury that poured cold water on his hopes of making Thomas Tuchel's
England squad...
16 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment