Mshindi wa Airtel Trace Music Stars, Mayunga Nalimi akiongea na waandishi (hawapo pichani) wakati wa tukio la kumuaga kwa ajili ya kwenda kurekodi video ya muziki na kupata mafunzo toka kwa mwanamuziki wa kimataifa Akon nchini Marekani. hafla fupi ya kumuaga iliyofanyika katika makao makuu ya ofisi ya Airtel Morocco jijini Dar Es Salaam. Katikati ni Afisa uhusiano wa Airtel Tanzania, Jane Matinde, akifatiwa na Mwalimu wa sauti Tony Joet.
Jamie Carragher criticises Tottenham's 'academy' defending in defeat by
Nottingham Forest as he brands them 'naive' and hits out at Ange
Postecoglou's approach
-
Jamie Carragher criticised Tottenham following their defeat by Nottingham
Forest as he claimed that Ange Postecoglou's side resemble an 'academy'
team defe...
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment