Mshindi wa Airtel Trace Music Stars, Mayunga Nalimi akiongea na waandishi (hawapo pichani) wakati wa tukio la kumuaga kwa ajili ya kwenda kurekodi video ya muziki na kupata mafunzo toka kwa mwanamuziki wa kimataifa Akon nchini Marekani. hafla fupi ya kumuaga iliyofanyika katika makao makuu ya ofisi ya Airtel Morocco jijini Dar Es Salaam. Katikati ni Afisa uhusiano wa Airtel Tanzania, Jane Matinde, akifatiwa na Mwalimu wa sauti Tony Joet.
Star NFL defender suffers season-ending injury in preseason blow after
being carted off on Vikings debut
-
The 30-year-old suffered an apparent right knee injury after playing just
11 defensive snaps. He headed into the sideline medical tent before being
carted ...
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment