• HABARI MPYA

    Monday, November 16, 2015

    MAYUNGA NALIMI AENDA MAREKANI KUNOLEWA NA AKON

    Mshindi wa Airtel Trace Music Stars, Mayunga Nalimi akiongea na waandishi (hawapo pichani) wakati wa tukio la kumuaga kwa ajili ya kwenda kurekodi video ya muziki na kupata mafunzo toka kwa mwanamuziki wa kimataifa Akon nchini Marekani. hafla fupi ya kumuaga iliyofanyika katika makao makuu ya ofisi ya Airtel Morocco jijini Dar Es Salaam. Katikati ni Afisa uhusiano wa Airtel Tanzania, Jane Matinde, akifatiwa na Mwalimu wa sauti Tony Joet.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAYUNGA NALIMI AENDA MAREKANI KUNOLEWA NA AKON Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top