Mshindi wa Airtel Trace Music Stars, Mayunga Nalimi akiongea na waandishi (hawapo pichani) wakati wa tukio la kumuaga kwa ajili ya kwenda kurekodi video ya muziki na kupata mafunzo toka kwa mwanamuziki wa kimataifa Akon nchini Marekani. hafla fupi ya kumuaga iliyofanyika katika makao makuu ya ofisi ya Airtel Morocco jijini Dar Es Salaam. Katikati ni Afisa uhusiano wa Airtel Tanzania, Jane Matinde, akifatiwa na Mwalimu wa sauti Tony Joet.
PHOTOS: US Monastir end Zamalek's unbeaten run, advance to the 2022 BAL final
-
*Wednesday*
*Semi-finals Petro de Luanda 88-74 FAP Zamalek 81-88 US Monastir*
US Monastir earned themselves a second chance to compete for the Basketba...
Dakika 8 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni