• HABARI MPYA

    Saturday, November 21, 2015

    'WINGA TELEZA' BRIAN MAJWEGA ALIVYOANZA KAZI SIMBA SC

    Winga Mganda, Brian Majwega akifanya mazoezi na Simba SC katika ufukwe wa Coco Beach, Dar es Salaam jana. Majwega ameomba kufanya mazoezi na Simba SC kujiweka fiti wakati huu yupo katika mgogoro na klabu yake, Azam FC, ingawa habari zinasema Wekundu hao wa Msimbazi wana mpango wa kumsajili
    Majwega akikimbia ufukweni kusaka pumzi ya kazi
    Majwega (katikati) na kushoto ni kocha Muingereza, Dylan Kerr
    Majwega akitembea kuelekea kuondoka baada ya kumaliza mazoezi

    Majwega (kulia) akizungumza na kocha Kerr baada ya mazoezi
    Majwega (kushoto) akizungumza na kocha Kerr wakati wa mapumziko

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: 'WINGA TELEZA' BRIAN MAJWEGA ALIVYOANZA KAZI SIMBA SC Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top