Wabrazil Philippe Coutinho na Roberto Firmino wakishangilia baada ya wote kufunga mabao katika ushindi wa 4-1 wa Liverpool dhidi ya wenyeji Manchester City Uwanja wa Etihad usiku huu. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Eliaquim Mangala aliyejifunga na Martin Skrtel, wakati bao la kufutia machozi la City limefungwa na Sergio Aguero PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Star NFL defender suffers season-ending injury in preseason blow after
being carted off on Vikings debut
-
The 30-year-old suffered an apparent right knee injury after playing just
11 defensive snaps. He headed into the sideline medical tent before being
carted ...
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment