Wabrazil Philippe Coutinho na Roberto Firmino wakishangilia baada ya wote kufunga mabao katika ushindi wa 4-1 wa Liverpool dhidi ya wenyeji Manchester City Uwanja wa Etihad usiku huu. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Eliaquim Mangala aliyejifunga na Martin Skrtel, wakati bao la kufutia machozi la City limefungwa na Sergio Aguero PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jack Grealish returns to training at Everton after five months on the
sidelines - as former England team-mates prepare for World Cup opener
-
Jack Grealish has returned to training after suffering an agonising foot
injury that poured cold water on his hopes of making Thomas Tuchel's
England squad...
24 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment