Wabrazil Philippe Coutinho na Roberto Firmino wakishangilia baada ya wote kufunga mabao katika ushindi wa 4-1 wa Liverpool dhidi ya wenyeji Manchester City Uwanja wa Etihad usiku huu. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Eliaquim Mangala aliyejifunga na Martin Skrtel, wakati bao la kufutia machozi la City limefungwa na Sergio Aguero PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The NFL's first female GM? Meet the young Rams executive that insiders are
convinced will make history
-
A rising Los Angeles Rams executive has been identified as a leading
contender to become the NFL's first female general manager. She was at the
center of t...
15 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment