Wabrazil Philippe Coutinho na Roberto Firmino wakishangilia baada ya wote kufunga mabao katika ushindi wa 4-1 wa Liverpool dhidi ya wenyeji Manchester City Uwanja wa Etihad usiku huu. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Eliaquim Mangala aliyejifunga na Martin Skrtel, wakati bao la kufutia machozi la City limefungwa na Sergio Aguero PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Angel Reese ruthlessly taunted for missing game winner... as Caitlin Clark
leaves her rival red-faced in Fever's dramatic win over Atlanta Dream
-
Caitlin Clark and the Indiana Fever sealed a dramatic 95-91 victory over
the Dream in an overtime thriller on Saturday. However, the result could
have been...
18 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment