Wabrazil Philippe Coutinho na Roberto Firmino wakishangilia baada ya wote kufunga mabao katika ushindi wa 4-1 wa Liverpool dhidi ya wenyeji Manchester City Uwanja wa Etihad usiku huu. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Eliaquim Mangala aliyejifunga na Martin Skrtel, wakati bao la kufutia machozi la City limefungwa na Sergio Aguero PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Glenavon move off bottom spot with win at Crusaders
-
Glenavon climb off the bottom of the Irish Premiership table with a 3-0
victory over Crusaders, who now occupy the automatic relegation spot.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment