MATUMLA ALIPOWEKA REKODI YA MTANZANIA WA KWANZA KUTWAA UBINGWA WA DUNIA
Bondia Rashid Matumla akiinua mkono kufurahia taji la ubingwa wa dunia wa WBU, baada ya kumshinda Paolo Pizzamiglio Juni 6, mwaka 1999 nchini Italia katika pambano la uzito wa Welter. Wakati huo, Matumla alikuwa chini ya kampuni ya DJB Promotions, iliyokuwa inamilikiwa na ndugu, Dioniz na Jamal Malinzi. Jamal sasa ni Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) na Dioniz Mwenyekiti wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT)
Ogun donates land to FG to develop inland dry port
-
From Idu Jude, Abuja The Government of Ogun State has donated over 130
hectares of land to the federal government of Nigeria for the development
of an in...
0 comments:
Post a Comment