MATUMLA ALIPOWEKA REKODI YA MTANZANIA WA KWANZA KUTWAA UBINGWA WA DUNIA
Bondia Rashid Matumla akiinua mkono kufurahia taji la ubingwa wa dunia wa WBU, baada ya kumshinda Paolo Pizzamiglio Juni 6, mwaka 1999 nchini Italia katika pambano la uzito wa Welter. Wakati huo, Matumla alikuwa chini ya kampuni ya DJB Promotions, iliyokuwa inamilikiwa na ndugu, Dioniz na Jamal Malinzi. Jamal sasa ni Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) na Dioniz Mwenyekiti wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT)
Sky überträgt | Sanchos Leipzig-Serie
-
Am Samstag tritt Borussia Dortmund bei Rasenballsport Leipzig an. Anstoß
ist um 15:30 Uhr. Alle Infos zu unserem Bundesliga-Auswärtsspiel haben wir
kompakt...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment