Nahodha wa Sweden, Zlatan Ibrahimovic akiifungia timu yake bao la pili kwa mpira wa adhabu katika sare ya 2-2 na wenyeji Denmark leo. Ibrahimovic amefunga mabao yote ya Sweden ambayo imeshinda kwa jumla ya 4-3 baada ya ushindi wa 2-1 awali hivyo kufuzu Euro 2016 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
WWE Rumors on Dom Mysterio Surgery, The Rock Ending PG Era, WrestleMania 41
in Vegas
-
Bleacher Report catches you up on the latest news from the WWE Universe.
Dominik Mysterio Reportedly Set for Elbow Surgery; Dom Responds After
showing up on…
37 minutes ago
0 comments:
Post a Comment