• HABARI MPYA

    Monday, November 23, 2015

    YANGA SC KATIKA MAZOEZI ASUBUHI YA LEO UWANJA WA BOKO VETERANI

    Kiungo Mzimbabwe wa Yanga SC, Thabani Kamusoko akimdhibiti beki Mtogo, Vincent Bossou katika mazoezi ya timu hiyo asubuhi ya leo Uwanja wa Boko Veterani, njw kidogo ya Jiji la Dar es Salaam
    Mshambuliaji Mzimbabwe, Donald Ngoma akimlamba chenga Vincent Bossou
    Beki Pato Ngonyani (kushoto) akipambana na vijana wa Yanga B, ambao wanaongeza idadi kwa sasa wachezaji wengi wa Yanga A wakiwa kwenye michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA Challenge mjini Addis Ababa, Ethiopia
    Vijana wa Yanga B wakionyesha uwezo wao Yanga A leo Uwanja wa Boko Veterani
    Beki Mkongo, Mbuyu Twite akiruka vihunzi mazoezini leo
    Kocha wa makipa, Juma Pondamali 'Mensah' akimpa maelekezo kipa Mudathir Khamis
    Mbele kijana wa Yanga B nyuma Godfrey Mwashiuya wakiruka vihunzi
    Donald Ngoma akiwa juu, mbele yake ni kipa Deo Munishi Dida
    Wachezaji wakinyoosha viungo mazoezini leo
    Pato Ngonyani amepeana mgongo na koch Juma Mwambusi wanakunywa maji

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA SC KATIKA MAZOEZI ASUBUHI YA LEO UWANJA WA BOKO VETERANI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top