HUDUMA BORA IIKUWA SEHEMU YA SIRI MAFANIKIO YA ‘TP LINDANDA'
Wachezaji wa Pamba FC ya Mwanza ‘TP Lindanda’ wakiwa Uwanja wa Ndege wa Dar es Salaam mwaka 1983 baada ya kuwasili kwa mchezo wa Ligi dhidi ya Yanga SC. Ilikuwa ni kawaida Pamba kusafiri kwa ndege kwa mechi za mikoa ya mbali na huduma bora ilikuwa sehemu kubwa ya siri ya mafanikio yake enzi hizo.
Ogun donates land to FG to develop inland dry port
-
From Idu Jude, Abuja The Government of Ogun State has donated over 130
hectares of land to the federal government of Nigeria for the development
of an in...
0 comments:
Post a Comment