Kipa wa Arsenal, Petr Cech akiwa amedaka mpira dhidi ya mshambuliaji wa Norwich, Lewis Grabban katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Carrow Road.Timu hizo zimetoka 1-1, bao la Arsenal likifungwa na Mesut Ozil dakika ya 30, huku la Norwich likifungwa na Grabban dakika ya 43 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The most dramatic promotion ever! York City back in the EFL after
103rd-minute equaliser... breaking the hearts of Rochdale - who thought
their goal had won it just moments before and celebrated with a pitch
invasion
-
The pitch at the Crown Oil Arena had only just been cleared of Rochdale
fans celebrating what appeared to be another dramatic late winner by
Emmanuel Diese...
50 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment