Kipa wa Arsenal, Petr Cech akiwa amedaka mpira dhidi ya mshambuliaji wa Norwich, Lewis Grabban katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Carrow Road.Timu hizo zimetoka 1-1, bao la Arsenal likifungwa na Mesut Ozil dakika ya 30, huku la Norwich likifungwa na Grabban dakika ya 43 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Star NFL defender suffers season-ending injury in preseason blow after
being carted off on Vikings debut
-
The 30-year-old suffered an apparent right knee injury after playing just
11 defensive snaps. He headed into the sideline medical tent before being
carted ...
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment