STARS WAWASILI SALAMA LILONGWE, SASA SAFARI YAANZA UPYA SAA TATU HADI BLANTYRE
Wachezaji wa Taifa Stars wakitremka kwenye ndege baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kamuzu, mjini Lilongwe, Malawi muda huu tayari kwa safari ya barabara ya saa tatu kuelekea Blantyire kwa ajili ya mchezo wa marudiano dhidi ya wenyeji Jumapili mchujo wa awali kuwania kupangwa kwenye makundi ya kugombea tiketi ya Kombe la Dunia 2018 nchini Urusi. Tanzania ilishinda 2-0 mchezo wa kwanza
Sasa safari inaanza upyaa kwa saa tatu kuelekea Blantyre
Vijana wanaonekana wako vizuri kuelekea mchezo huo wa Jumapili
Handball-Damen: Rückschlag im Kampf um Platz zwei
-
Mit 28:29 (14:15) unterlagen die Handballerinnen von Borussia Dortmund im
Spitzenspiel bei der HSG Bensheim/Auerbach und sind damit auf Platz vier
hinter d...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment