Mshambuliaji wa Barcelona, Neymar amekuwa mchezaji mwingine wa timu hiyo kufunga mabao manne katika mechi moja baada ya Messi, tangu Mcameroon Samuel Eto'o alipofanya hivyo mwaka 2008. Neymar alifunga mabao mawili kwa penalti jana kati ya manne katika mchezo wa La Liga, wakati bao lingine la Barca lilifungwa na Luis Suarez, Barcelona ikishinda 5-2 dhidi ya Rayo Vallecano. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bernard Tomic challenges Nick Kyrgios to stump up $1million for winner-takes-all tennis match
-
Bernard Tomic has told Nick Kyrgios to 'put your money where your mouth is'
and challenged his rival to take part in a winner-takes-all showdown worth
$2mi...
Dakika 8 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni