Mshambuliaji wa Barcelona, Neymar amekuwa mchezaji mwingine wa timu hiyo kufunga mabao manne katika mechi moja baada ya Messi, tangu Mcameroon Samuel Eto'o alipofanya hivyo mwaka 2008. Neymar alifunga mabao mawili kwa penalti jana kati ya manne katika mchezo wa La Liga, wakati bao lingine la Barca lilifungwa na Luis Suarez, Barcelona ikishinda 5-2 dhidi ya Rayo Vallecano. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Reason for Lionel Messi's tears revealed: Insider opens up on 'serious
health problem' that has left Argentina superstar devastated
-
The story came to light on Tuesday night after Messi cried on the pitch in
Kansas City, immediately after scoring his first ever World Cup hat-trick
to ens...
13 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment