Mshambuliaji wa Barcelona, Neymar amekuwa mchezaji mwingine wa timu hiyo kufunga mabao manne katika mechi moja baada ya Messi, tangu Mcameroon Samuel Eto'o alipofanya hivyo mwaka 2008. Neymar alifunga mabao mawili kwa penalti jana kati ya manne katika mchezo wa La Liga, wakati bao lingine la Barca lilifungwa na Luis Suarez, Barcelona ikishinda 5-2 dhidi ya Rayo Vallecano. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Osun: Donald Duke congratulates Adeleke, voters, INEC
-
Says poll a litmus test for 2027, urges opposition to unite against APC
Former Governor of Cross River State and presidential candidate of the
Peoples ...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment