Mshambuliaji wa Barcelona, Neymar amekuwa mchezaji mwingine wa timu hiyo kufunga mabao manne katika mechi moja baada ya Messi, tangu Mcameroon Samuel Eto'o alipofanya hivyo mwaka 2008. Neymar alifunga mabao mawili kwa penalti jana kati ya manne katika mchezo wa La Liga, wakati bao lingine la Barca lilifungwa na Luis Suarez, Barcelona ikishinda 5-2 dhidi ya Rayo Vallecano. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Northampton's hat-trick hero TOM LITCHFIELD: How I overcame 'imposter
syndrome' and feeling like I didn't fit as a shy, state school boy in pro
rugby to dominating Leicester and eyeing an England call
-
EXCLUSIVE INTERVIEW BY NIK SIMON: Tom Litchfield does not court headlines
with TikTok dances or extravagant try celebrations yet he is one of the
quiet ico...
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment