Kipa wa Chelsea, Asmir Begovic akiruka bila mafanikio kuzuia mpira wa kichwa wa Andy Carroll, uliopa bao la ushindi West Ham nyumbani dakika ya 79 Uwanja wa Upton Park katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo. West Ham maarufu 'Wagonga Nyundo' wameshinda 2-1, bao lao lingine likifungwa na Mauro Zarate dakika ya 17, huku la Chelsea iliyompoteza Nemanja Matic aliyeonyeshwa kadi ya pili ya njano dakika ya 44 Gary Cahill dakika ya 56. Makocha Jose Mourinho wa Chelsea na Silvino Louro pia walitolewa uwanjani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Video surfaces of 326-POUND Chiefs draftee Kingsley Suamataia showing off
his athletic ability with incredible standing jump out of a pool... after
OT was selected by Kansas City with 63rd pick at the NFL Draft
-
Incredible video footage of massive Chiefs draftee Kingsley Suamataia
jumping out of a pool surfaced on Friday night after Kansas City selected
him in the ...
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment