Kipa wa Chelsea, Asmir Begovic akiruka bila mafanikio kuzuia mpira wa kichwa wa Andy Carroll, uliopa bao la ushindi West Ham nyumbani dakika ya 79 Uwanja wa Upton Park katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo. West Ham maarufu 'Wagonga Nyundo' wameshinda 2-1, bao lao lingine likifungwa na Mauro Zarate dakika ya 17, huku la Chelsea iliyompoteza Nemanja Matic aliyeonyeshwa kadi ya pili ya njano dakika ya 44 Gary Cahill dakika ya 56. Makocha Jose Mourinho wa Chelsea na Silvino Louro pia walitolewa uwanjani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
FG partners Kaduna govt to crash maternal, neonatal mortality
-
From Noah Ebije, Kaduna The National Coordinator of the Maternal and
Neonatal Mortality Reduction Innovation Initiative (MAMII), Dr. Dayo
Adeyanju, has d...
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment