Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo dos Santos Aveiro (kulia) akimtia tobo Sergi Gomez wa Celta Vigo katika mchezo wa La Liga jioni ya leo Uwanja wa Balaidos. Real imeshinda 3-1, mabao yake yakifungwa na Ronaldo dakika ya nane, Danilo Luiz da Silva dakika ya 23 na Marcelo Vieira Da Silva Junior dakika ya 90+5, wakati la wenyeji lilifungwa na Manuel Agudo Duran dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Andrew Symonds asked Cricket Australia for a pay cut so he could spend more time fishing
-
Andrew Symonds once offered to take a pay cut from Cricket Australia so he
could spend more time fishing, and less corporate appearances.
Dakika 17 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni