Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo dos Santos Aveiro (kulia) akimtia tobo Sergi Gomez wa Celta Vigo katika mchezo wa La Liga jioni ya leo Uwanja wa Balaidos. Real imeshinda 3-1, mabao yake yakifungwa na Ronaldo dakika ya nane, Danilo Luiz da Silva dakika ya 23 na Marcelo Vieira Da Silva Junior dakika ya 90+5, wakati la wenyeji lilifungwa na Manuel Agudo Duran dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Osun: Donald Duke congratulates Adeleke, voters, INEC
-
Says poll a litmus test for 2027, urges opposition to unite against APC
Former Governor of Cross River State and presidential candidate of the
Peoples ...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment