Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akiruka kama mkizi kuifungia timu yake katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Las Palmas jioni ya leo katika mchezo wa La Liga Uwanja wa Bernabeu. Mabao mengine ya Real yamefungwa na Isco na Jese Rodriguez, wakati la Palmas limefungwa na Hernan Santana PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arne Slot hints Alisson could leave Liverpool this summer, with injury-hit
goalkeeper targeted by Juventus
-
Arne Slot has not ruled out the possibility of Alisson leaving Liverpool
this summer. The injury-hit No 1 goalkeeper, currently out of action yet
again for...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment