Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akiruka kama mkizi kuifungia timu yake katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Las Palmas jioni ya leo katika mchezo wa La Liga Uwanja wa Bernabeu. Mabao mengine ya Real yamefungwa na Isco na Jese Rodriguez, wakati la Palmas limefungwa na Hernan Santana PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Osun: Donald Duke congratulates Adeleke, voters, INEC
-
Says poll a litmus test for 2027, urges opposition to unite against APC
Former Governor of Cross River State and presidential candidate of the
Peoples ...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment