Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akiruka kama mkizi kuifungia timu yake katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Las Palmas jioni ya leo katika mchezo wa La Liga Uwanja wa Bernabeu. Mabao mengine ya Real yamefungwa na Isco na Jese Rodriguez, wakati la Palmas limefungwa na Hernan Santana PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man City host Liverpool, Port Vale face Chelsea - full FA Cup draw
-
League One Port Vale's reward for beating Sunderland in the FA Cup is a
quarter-final tie away to Chelsea, while Manchester City will host
Liverpool in a h...
20 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment