Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akiruka kama mkizi kuifungia timu yake katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Las Palmas jioni ya leo katika mchezo wa La Liga Uwanja wa Bernabeu. Mabao mengine ya Real yamefungwa na Isco na Jese Rodriguez, wakati la Palmas limefungwa na Hernan Santana PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Reason for Lionel Messi's tears revealed: Insider opens up on 'serious
health problem' that has left Argentina superstar devastated
-
The story came to light on Tuesday night after Messi cried on the pitch in
Kansas City, immediately after scoring his first ever World Cup hat-trick
to ens...
15 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment