Mshambuliaji wa kimataifa wa Poland, Robert Lewandowski akipiga kichwa mbele ya mabeki wa Cologne kuifungia Bayern Munich bao la tatu katika ushindi wa 4-0 jioni ya leo Uwanja wa Allianz Arena katika mchezo wa Bundesliga. Mabao mengine ya Bayern Munich yamefungwa na Arjen Robben, Arturo Vidal na Thomas Muller kwa penalti. Ushindi huo wa 1,000 kwa The Bavarians tangu kuanzishwa kwa Bundesliga, unaifanya Bayern iwe timu ya kwanza kushinda mechi 10 mfululizo za ligi hiyo kihistoria. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Alonso to stay at Leverkusen amid Liverpool interest
-
Xabi Alonso announces he will remain as manager of Bayer Leverkusen beyond
this summer despite interest from Liverpool and Bayern Munich.
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment