Mshambuliaji wa Real Madrid, Karim Benzema akienda hewani kuifungia kwa kichwa timu hiyo katika sare ya 1-1 na Atletco Madrid mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Vicente Calderon. Bao la Atletico lilifungwa na Luciano Vietto katika mchezo huo, ambao kipa wa Real, Keylor Navas alicheza mkwaju wa penalti wa Antoine Griezmann PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Odell Beckham Jr., Ryan Tannehill Best Landing Spots After 2024 NFL Draft
Day 2
-
The NFL draft will be over in one day, and attention will turn toward the
other parts of the preseason calendar, such as offseason workouts and the
schedule…
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment