Mshambuliaji wa Real Madrid, Karim Benzema akienda hewani kuifungia kwa kichwa timu hiyo katika sare ya 1-1 na Atletco Madrid mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Vicente Calderon. Bao la Atletico lilifungwa na Luciano Vietto katika mchezo huo, ambao kipa wa Real, Keylor Navas alicheza mkwaju wa penalti wa Antoine Griezmann PICHA ZAIDI GONGA HAPA
I’m not just here to sing; I’m here to create experience –Ortez
-
It’s the dawn of a new era, as electrifying singer/songwriter, Olorunfemi
Otedola Damilola aka Ortez, is crowned the new face of the industry. With a
voi...
48 minutes ago
0 comments:
Post a Comment