Mshambuliaji wa Real Madrid, Karim Benzema akienda hewani kuifungia kwa kichwa timu hiyo katika sare ya 1-1 na Atletco Madrid mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Vicente Calderon. Bao la Atletico lilifungwa na Luciano Vietto katika mchezo huo, ambao kipa wa Real, Keylor Navas alicheza mkwaju wa penalti wa Antoine Griezmann PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cindy Esezobor to lead 2026 Vinedressers Annual Ladies Convention in Abuja
-
The 2026 edition of the Vinedressers Annual Ladies Convention is scheduled
to hold from Sept. 11 to Sept. 13 at Firehouse Church, Mabushi, Abuja.
The pos...
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment