• HABARI MPYA

    Thursday, August 14, 2014

    SUNDAY KAYUNI AKIPIGA KAZI KAGAME, KWA UTULIVU ZAIDI

    Aliyekuwa Mkurugenzi wa Ufundi wa TFF, Sunday Kayuni (katikati) akifuatilia mechi za Kombe la Kagame mchana wa leo Uwanja wa Nyamirambo, Kigali, Rwanda. Kulia ni Elijah Onsika na kushoto, Albert Okech kutoka Kenya, ambao kwa pamoja ni Wajumbe wa Kikundi cha Tathmini za Kiufundi (TSG) cha michuano hiyo. 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SUNDAY KAYUNI AKIPIGA KAZI KAGAME, KWA UTULIVU ZAIDI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top