• HABARI MPYA

    Wednesday, January 01, 2014

    MABINGWA AZAM FC WATUA ZANZIBAR TAYARI KUTETEA KOMBE LA MAPINDUZI

    Wachezaji wa Azam FC wakiwasili mjini Zanzibar Alasiri ya leo, tayari kushiriki michuano ya Kombe la Mapinduzi, michuano inayoaanza leo visiwani hapa. Azam ambao ni mabingwa watetezi kwa miaka miwili mfululizo wataanza kampeni ya kutetea taji lao kesho kwa kumenyana na Spice Stars.
    Wachezaji wa Azam wakienda kupanda basi lao jipya la Higer tayari kuelekea hotelini
    Boti yaKilimanjaro IV iliyowaleta wachezaji wa Azam ikielekea kutia nanga katika bandari ya Zanzibar, iliyojengwa na na kampuni ya Azam Marine
    Wachezaji wa Azam juu kabisa kwenye boti
    Wachezaji wa Azam wakitoka bandarini
    Kocha Mkuu wa Azam FC, Joseph Marius Omog kushoto na beki David Mwantika
    Kulia Ibrahim Mwaipopo na kushoto Mudathir Yahya
    Kocha Msaidizi Kali Ongala kushoto na Jabir Aziz kulia
    Kipre Herman Tchetche kushoto na Muamad Ismael Kone kulia ndani ya basi
    Salum Abubakar 'Sure Boy' kushoto akiweka kibegi chake kwenye eneo la mizigo
    Siti ya nyuma; Kutoka kulia Said Mourad, John Bocco na Erasto Nyoni
    Jabir Aziz na Mudathir Yahya karibu na choo

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MABINGWA AZAM FC WATUA ZANZIBAR TAYARI KUTETEA KOMBE LA MAPINDUZI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top