Pati la Ushindi; Jake Livermore (wa pili kulia) akishangilia baada ya kuifungia Hull City bao la kwanza dakika ya 20 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Liverpool jioni ya leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa KC. Mabao mengine yalifungwa na Meyler dakika ya 72 na Skrtel wa Liverpool akajifunga dakika ya 88, wakati bao pekee la Liverpool lilifungwa na Gerrard dakika ya 27. CHINI; Gerrard akishangilia bao lake na picha inayofuatia ni mshambuliaji wa Liverpool, Luis Suarez (kushoto) akipiga mpira mbele ya beki wa Hull City.
FIFA have stained this World Cup at every turn with inconsistency and
self-interest... but honest and talented England are just three steps from
glory, writes IAN LADYMAN
-
IAN LADYMAN IN MIAMI: If the thrill of watching England win in Mexico will
form an abiding memory of this World Cup, so will the leaving the following
day.
1 hour ago





.png)
0 comments:
Post a Comment