• HABARI MPYA

    Sunday, December 15, 2013

    SIMBA SC NA KMKM KATIKA PICHA LEO TAIFA

    Beki wa KMKM ya Zanzibar akiwa amelala chini kuondosha mpira miguuni mwa mshambuliaji wa Simba SC, Edward Christopher katika mchezo wa kirafiki jioni ya leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Simba SC imeshinda 3-1. 

    Kipa wa Simba SC, Yaw Berko akidaka mpira miguuni mwa mshambuliaji wa KMKM, Ally Ahmed 'Shiboli'

    Beki wa Simba SC, Haruna Shamte akiwatoka wachezaji wa KMKM

    Mshambuliaji wa Simba SC, Betram Mombeki akiwatoka mabeki wa KMKM

    Uhuru Suleiman wa Simba SC kulia akimtoka beki wa KMKM

    William Lucian 'Gallas' wa Simba SC akipasua katikati ya wachezaji wa KMKM

    Kocha mpya wa Simba SC, Mcroatia Zdravko Logarusic akiwaelekeza wachezaji wake kucheza mpira wachini 

    Beki wa Simba SC, Henry Joseph akimdhibiti mshambuliaji wa KMKM, huku kipa Yaw Berko akiwa tayari kudaka

    Yaw Berko amedaka

    Beki wa KMKM akiondosha mpira miguuni mwa Betram Mombeki wa Simba SC

    Kiungo wa KMKM, Juma Mbwana akimiliki mpira mbele ya wachezaji wa Simba SC

    William Lucian 'Gallas' wa Simba SC kushoto na Iddi Mgeni wa KMKM kulia

    Iddi Mgeni akimpiga teke Hamisi Tambwe wa Simba SC

    Big Boss; Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba SC, Zacharia Hans Poppe kushoto akiwa jukwaani kuangalia burudani leo 

    Omary Salum wa Simba SC kushoto akiambaa

    Kikosi cha Simba SC leo

    Kikosi cha KMKM leo

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA SC NA KMKM KATIKA PICHA LEO TAIFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top