• HABARI MPYA

    Saturday, December 14, 2013

    MERTERSACKER ATAKA KUMCHAPA OZIL BAADA YA MECHI ARSENAL IKIPIGWA SITA

    WAJERUMANI Per Mertesacker na Mesut Ozil 'waliwakiana' wakati wakitoka Uwanja wa Etihad baada ya Arsenal kufungwa mabao 6-3 na Manchester City.
    Beki Mertesacker ndiye aliyeonekana kumuwakia Ozil - mmoja wa rafiki zake wakubwa katika soka - na akamnyooshe kidole cha mkwara mzito kiungo huyo mwishoni mwa mchezo.
    Tena usirudie tena: Per Mertesacker (kulia) akimuwekea mikwara Mesut Ozil baada ya kipigo cha Arsenal cha 6-3 kutoka kwa Manchester CityBoiling over: Mertesacker continues to rage against his close pal
    Mkwara mzito: Mertesacker akiendelea kumfokea OzilSetting an example: Jack Wilshere (left) and Mertesacker salute the Arsenal fans
    Anaua soo: Hapa anawapigia makofi mashabiki akiwa na Jack Wilshere 
    A right earful: Mertesacker continues to rage
    A right earful: Mertesacker continues to rage
    Mertesacker akimchimba mikwara Ozil wakati wanatoka uwanjani
    Stunning result: Manchester City blew open the title race by thumping the leaders
    Hiki ndiko kilemeta balaa Arsenal
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MERTERSACKER ATAKA KUMCHAPA OZIL BAADA YA MECHI ARSENAL IKIPIGWA SITA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top