• HABARI MPYA

    Saturday, December 21, 2013

    SIMBA SC ILIVYOIFANYIZIA YANGA SC NANI MTANI JEMBE LEO...HADI AIBU BABU!

    Mshambuliaji wa Yanga, Emmanuel Okwi akiwatoka wachezaji wa Simba SC katika mchezo wa Nani Mtani Jembe jioni ya leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Simba SC ilishinda 3-1.
    Mashabiki wa Simba SC kwa raha zao
    Ramadhani Singano 'Messi' akimlamba chenga Kevin Yondan wa Yanga. Hapa Yondan alimchezea rafu Messi baada ya kupigwa chenga 'mbaya sana' akapewa kadi ya pili ya njano
    Mpira nyavuni, Juma Kaseja akiwa ameruka kushoto mpira umetinga kulia mkwaju wa penalti wa Amisi Tambwe
    Messi akimkimbiza Haruna Niyonzima wa Yanga
    Mrisho Ngassa akipasua katikati ya wachezaji wa Simba
    Messi akimkimbiza David Luhende. Hapa Luhende alimchezea rafu Messi ikawa penalti ambayo ilifungwa na Tambwe bao la pili
    Haruna Niyonzima akipambana na wachezaji wa Simba
    Okwi akilalamika kwa refa
    Didier Kavumbangu akipambana
    Okwi akitafuta mbinu za kumtoka Haruna Shamte
    Frank Domayo ameanguka chini huku Jonas Mkude anaondoka na mpira
    Zahor Pazi anaambaa na mpira beki wa Yanga anagaagaa chini
    Kipa wa Simba SC, Ivo Mapunda akiugulia maumivu baada ya kuumizwa katika kona na wachezaji wa Yanga
    Awadh Juma kulia akipiga kichwa pembeni ya David Luhende
    Mrisho Ngassa akimtoka Donald Mosoti wa Simba SC
    Haroun Chanongo wa Simba kushoto na Frank Domayo wa Yanga kulia
    Awadh Juma akimiliki mpira mbele ya David Luhende
    Kikosi cha Yanga leo
    Kikosi cha Simba leo
    Mashabiki wa Simba SC kwa raha zao
    Mashabiki wa Yanga huruma leo
    Kipenzi cha wana Simba, Zacharia Hans Poppe akifurahia baada ya mechi
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA SC ILIVYOIFANYIZIA YANGA SC NANI MTANI JEMBE LEO...HADI AIBU BABU! Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top