• HABARI MPYA

    Monday, December 30, 2013

    BASI JIPYA LA AZAM LAWASILI...KAMA LA KLABU KUBWA ZA ULAYA

    Hakuna Afrika nzima; Basi jipya la wachezaji wa klabu ya Azam FC ya Dar es Salaam, lililowasili nchini juzi likiwa tayari kusafirishwa visiwani Zanzibar ambako timu hiyo imekwenda kushiriki Kombe la Mapinduzi. Hili ni aina ya mabasi ambayo yanatumiwa na klabu za Ulaya kama Manchester United, Bayen Munich na Barcelona ambalo kwa Afrika Azam inaweza kuwa klabu ya kwanza kulimiliki.
    Kitu cha maana
    Kila siti ina TV
    Kuna friji
    Kuna choo
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BASI JIPYA LA AZAM LAWASILI...KAMA LA KLABU KUBWA ZA ULAYA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top