Bondia Joshua Amukulu kushoto kutoka Kenya akitunishiana misuli na Fransic Miyeyusho 'Chichi Mawe' wakati wa upimaji uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika kesho kwenye ukumbi wa Msasani Club, Dar es Salaam. Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com |
Bondia Kalama Nyilawila kushoto akitunishiana misuli na Ibrahimu Maokola baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika Desemba 31 siku ya jumanne katika ukumbi wa Msasani klabu Picha nawww.superdboxingcoach.blogspot.com |
0 comments:
Post a Comment