Mwanasoka wa kike wa Australia mwenye asili ya Misri, Assmaah Helal akiwa amevalia hijab ya kiislam katika mazoezi mjinji Sydney hivi karibuni (February 23, 2012). Mchezaji huyo ni mzuri, lakini sheria tata ya ya FIFA kuzuia vazi hilo la kiislamu katika soka inamaanisha hawezi kuonyesha kipaj chake na kutimiza ndoto zake kupitia mchezo huo akiwa na jezi ya Australia. Assmah amesema hijab ni sehemu ya utambulisho wa mwanamke wa kiislamu na ameiomba FIFA ifikirie upya suala hilo. AFP PHOTO / Torsten BLACKWOOD
Sánchez strikes out 10 in 7 innings and García hits 2-run homer as Phillies
beat Blue Jays 5-2
-
TORONTO (AP) — Cristopher Sánchez struck out 10 and allowed two runs in
seven innings to win for the sixth time in seven starts, Adolis García hit
a two-ru...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment