Mwanasoka wa kike wa Australia mwenye asili ya Misri, Assmaah Helal akiwa amevalia hijab ya kiislam katika mazoezi mjinji Sydney hivi karibuni (February 23, 2012). Mchezaji huyo ni mzuri, lakini sheria tata ya ya FIFA kuzuia vazi hilo la kiislamu katika soka inamaanisha hawezi kuonyesha kipaj chake na kutimiza ndoto zake kupitia mchezo huo akiwa na jezi ya Australia. Assmah amesema hijab ni sehemu ya utambulisho wa mwanamke wa kiislamu na ameiomba FIFA ifikirie upya suala hilo. AFP PHOTO / Torsten BLACKWOOD
Weiss' unusual intentional walk works as the Braves hold on: 'I would have
got killed for that one'
-
BALTIMORE (AP) — After Ozzie Albies let a ball through his legs in the
ninth inning, the Atlanta Braves spent the rest of the game on the ropes.
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment