Baada ya ndoa zake mbili ‘kufa’ – moja mcheza kikapu nyota David
Justice na nyingine na mwanamuziki David Justice – mwigizaji Halle Berry alipata
penzi jipya, mwishoni mwa mwaka 2005 na mwanamitindo Gabriel Aubry na kuzaa
naye mtoto wa kike, Nahla, Machi 2008, wakati huo Berry akiwa ana miaka 41. Inauma
wawili hao waliachana miaka miwili baadaye. Licha ya kusema hataolewa tena,
Berry alitangaza uchumba wake na mwigizaji wa Kifaransa, Olivier Martinez wiki
chache zilizopita. Je, akiwa ana umri wa miaka 45 tutarajie watoto zaidi kutoka
kwake?
|
0 comments:
Post a Comment