• HABARI MPYA

    Saturday, March 24, 2012

    MUAMBA NI KILA KONA, MWENYEWE BADO YUPO HOSPITALI

    
    Ujumbe wa kumtakia heri Fabrice Muamba nje ya Uwanja wa kabla ya mchezo wa Ligi Kuu ya England kati ya Bolton Wanderers na Blackburn Rovers kwenye Uwanja wa Reebok Machi 24, mwaka 2012 mjini Bolton, England. Fabrice Muamba bado yupo katika chumba cha wagonjwa walio chini ya uangalizi maalum kwenye hospitali ya London Chest baada ya kuanguka na kuzimia kwenye mechi ya Kombe la FA dhidi ya Tottenham Hotspur na Bolton Wanderers Jumamosi iliyopita.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MUAMBA NI KILA KONA, MWENYEWE BADO YUPO HOSPITALI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top