• HABARI MPYA

    Friday, March 20, 2009

    MAMBO YA THT HAYO...

    Wasanii wa kikundi cha Tanzania House of Talent (THT) kinachodhaminiwa na kampuni ya simu za mkononi ya Zain Tanzania, Juma Mataruma (kushoto) na Msami Giovan wakilia 'kuombolezo kifo' cha Kauye Adam wakati wa maigizo katika hafla maalumu iliyoandaliwa kwa wanafunzi wa shule za sekondari za Dar es Salaam juzi, yanayoelimisha kuhusu mbinu za kupambana na maradhi ya UKIMWI na matumizi ya dawa za kulevya.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAMBO YA THT HAYO... Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top