Zuhura Mrisho Watuta katika picha tofauti: Zuhura pamoja na kuwa mwanamitindo, aliwahi kufanya kazi ya kupaka rangi magari na nyumba, ambayo nitaaluma yake ya awali aliyoisomea Chuo cha Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA).
KImwana huyo pia ni mwanamuziki anayefanya vizuri tu akiwa amekwishatoa albamu moja iitwayo Elimu Penzi.
Zuhura ni miongoni mwa wasanii wa awali wa Nyumba ya Vipaji (THT), yenye wakali wengine kama Mwasiti, Marlaw na wengine kibao.
Who will win title? The big prediction special
-
Will it be Manchester City or Arsenal for the Premier League title? BBC
Sport gets pundits, reporters and fans to predict each of their remaining
fixtures ...
0 comments:
Post a Comment