Zuhura Mrisho Watuta katika picha tofauti: Zuhura pamoja na kuwa mwanamitindo, aliwahi kufanya kazi ya kupaka rangi magari na nyumba, ambayo nitaaluma yake ya awali aliyoisomea Chuo cha Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA).
KImwana huyo pia ni mwanamuziki anayefanya vizuri tu akiwa amekwishatoa albamu moja iitwayo Elimu Penzi.
Zuhura ni miongoni mwa wasanii wa awali wa Nyumba ya Vipaji (THT), yenye wakali wengine kama Mwasiti, Marlaw na wengine kibao.
Lupfen jetzt! – 25 Jahre Champions-League-Sieg
-
Die nächste Fantage-Veranstaltung steht wieder ganz im Zeichen von Borussia
Dortmund. Unter dem Motto „Lupfen jetzt! – 25 Jahre
Champions-League-Sieg“ habe...
FEATURED: Bboxx Rwanda launches Flexx by Bboxx
-
Bboxx Rwanda, a next-generation utility, has launched a new entry-level
brand, “Flexx by Bboxx”, to provide affordable, reliable, and flexible
clean ener...
TBS YAKUTANA NA WAHARIRI DAR
-
Mkurugenzi wa Udhibiti Ubora wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Lazaro
Msasalaga ( wa pili kushoto) akizungumza wakati wa jukwaa la wahariri wa
vyom...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 maoni:
Chapisha Maoni