• HABARI MPYA

    Saturday, March 28, 2009

    MA PRO WA YANGA KAZINI LEO KENYA, IVORY COAST

    Mmoja wa wachezaji wa Yanga walio kazini kwenye timu za za taifa, Ben Mwalala


    BONIPHACE Ambani, George Owino na Ben Mwalala, wachezaji wa Yanga ya Dar es Salaam jioni hii wapo Uwanja wa Kasarani mjini Nairobi, Kenya wakiiongoza timu ya taifa ya nchi yao, Harambee Stars katika mchezo wa kuwania kufuzu kwenye fainali za Kombe la Dunia mwaka 2010 nchini Afrika Kusini, dhidi ya Tunisia.
    Aidha, beki wa kimataifa wa Yanga, Wisdom Ndhlovu naye atakuwa akiiongoza timu yake ya taifa, Malawi wakati itapokuwa kwenye mtihani kama huo wa Kenya, dhidi ya Ivory Coast mjini Abidjan.





    RATIBA KAMILI
    Kenya vs. Tunisia
    Rwanda vs. Algeria
    Togo vs. Cameroon
    Sudan vs. Mali
    Burkina Faso vs. Guinea
    Morocco vs. Gabon
    Mozambique vs. Nigeria
    Ivory Coast vs. Malawi
    Ghana vs. Benin
    Misri vs. Zambia
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MA PRO WA YANGA KAZINI LEO KENYA, IVORY COAST Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top