Kocha wa Yanga, Mzamba George Lwandamina (kushoto) akiwa na wasaidizi wake wakipata chakula Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta (JKIA), Nairobi, Kenya leo wakisubiri kuunganisha ndege kwenda Lusaka, Zambia kwa ajili ya mchezo wa marudiano hatua ya 32 Bora Ligi ya Mabingwa Afrika Jumamosi dhidi ya wenyeji, Zanaco
Kushoto ni Nahodha wa Yanga, Nadir Haroub 'Cannavaro' na beki mwenzake, Oscar Joshua kulia
Hapa wachezaji wa Yanga wakichukua chakula JKIA kabla ya kuunganisha ndege ya Lusaka
Hapa wachezaji wengine wa Yanga 'wakipiga stori' kuvutaa muda wa kupanda ndege nyingine usiku wa leo
Katikati ni Meneja wa Yanga, Hafidh Saleh akiwa na Maofisa wengine wa benchi la Ufundi
Schefter: Falcons HC 'Truly Loved' Michael Penix Jr. Despite Kirk Cousins
Contract
-
Even though the Atlanta Falcons stunned the world by selecting Michael
Penix Jr. with the No. 8 pick in the 2024 NFL draft on Thursday night, it
was not a…
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment