Juan Mata akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao pekee dakika ya 70 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Rostov usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford katika mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora michuano ya UEFA Europa League hivyo kusonga mbele Robo Fainali kwa ushindi wa jumla wa 2-1 baada ya sare ya 1-1 katika mchezo wa kwanza Urusi wiki iliyopita PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Wrexham stars are treated to ANOTHER trip to Las Vegas after their
'monster' all-expenses holiday last year as Ryan Reynolds and Rob
McElhenney's side celebrate pulling off back-to-back promotions
-
The Welsh outfit sealed a return to League One for the first time in 19
years after finishing second in the fourth tier of English football,
earning 88 poi...
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment