Juan Mata akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao pekee dakika ya 70 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Rostov usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford katika mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora michuano ya UEFA Europa League hivyo kusonga mbele Robo Fainali kwa ushindi wa jumla wa 2-1 baada ya sare ya 1-1 katika mchezo wa kwanza Urusi wiki iliyopita PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The five tricks England MUST use to beat India in T20 World Cup semi-final:
Sam Curran's unique weapon, how to combat Jasprit Bumrah and the high-risk
gamble worth taking
-
Harry Brook's team are yet to put in a complete performance at the T20
World Cup but here Daily Mail Sport examines the blueprint for success
against India...
59 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment