MAN UNITED YAICHAPA BRENTFORD 1-0, YAREJEA ‘TOP FOUR’
BAO pekee la Marcus Rashford dakika ya 27 jana limeipa Manchester United ushindi wa 1-0 dhidi ya Brentford FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Old Trafford Jijini Manchester. Kwa ushindi huo, Manchester United inafikisha pointi 53 katika mchezo wa 28 na kusogea Tena nafasi ya nne, wakati Brentford wanabaki na pointi zao 43 za mechi 29 nafasi ya tisa.
Djokovic wins first match with coach Murray in box
-
Novak Djokovic comes from a set down to win his opening-round Australian
Open match, his first victory with three-time Grand Slam champion Andy
Murray in h...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment