Fei Toto alifunga bao hilo akimalizia pasi nzuri ya kiungo mwenza, Farid Mussa Malik baada ya shambulizi lilioanzishwa na winga Mghana, Bernard Morrison upande wa kulia.
Kwa ushindi huo, Yanga inafikisha pointi 35 katika mchezo wa 14 na kurejea kileleni mwa Ligi ikiizidi pointi moja Simba SC ambayo pia imecheza mechi moja zaidi, wakati Prisons inabaki na pointi zake 15 za mechi 15 nafasi ya 11.
0 comments:
Post a Comment