KAGERA SUGAR YAICHAPA IHEFU KIBOKO YA YANGA 2-0 KIRUMBA
WENYEJI, Kagera Sugar wameibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya Ihefu SC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza. Mabao ya Kagera Sugar yamefungwa na Eric Mwijage dakika ya 67 na Hamisi Kiiza dakika ya 83 Na kwa ushindi huo wanakamilisha mechi 15 za mzunguko wa kwanza wakiwa na pointi 21 na kupanda nafasi ya sita. Kwa upande wao, Ihefu SC baada ya kipigo cha leo wanakamilisha michezo yao 15 ya mzunguko wa kwanza wa Ligi kwa kuvuna pointi 11 tu wakiwa nafasi ya 14 kwenye ligi ya timu 16.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment