// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); AZAM FC YAITANDIKA MALIMAO 9-0 KOMBE LA TFF CHAMAZI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE AZAM FC YAITANDIKA MALIMAO 9-0 KOMBE LA TFF CHAMAZI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Saturday, December 10, 2022

    AZAM FC YAITANDIKA MALIMAO 9-0 KOMBE LA TFF CHAMAZI


    TIMU ya Azam FC imefanikiwa kusonga mbele Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Azam Sports Federation Cup (ASFC) baada ya ushindi wa 9-0 dhidi ya Malimao FC ya Katavi jana Uwanja wa Azam Complex, Chamazi nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam.
    Mabao ya Azam FC katika mchezo huo yamefungwa na Sospeter Bajana, Shaaban Iddi Chilunda, Keneth Muguna, Kipre Junior, Abdul Suleiman ‘Sopu’ mawili, Yahya Zayd, Cyprian Kachwele na David Chilawanga.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AZAM FC YAITANDIKA MALIMAO 9-0 KOMBE LA TFF CHAMAZI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top