// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
MAN CITY YAWACHAPA LEEDS UNITED 3-1 ELLAND ROAD - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEMAN CITY YAWACHAPA LEEDS UNITED 3-1 ELLAND ROAD - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
TIMU ya Manchester City jana imewatandika wenyeji, Leeds United mabao 3-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Elland Road Jijini Leeds, West Yorkshire. Mabao ya Man City yamefungwa na Rodri dakika ya 45 na Erling Haaland mawili dakika ya 51 na 64, wakati la Leeds limefungwa na Pascal Struijk dakika ya 73. Kwa ushindi huo, Man City inafikisha pointi 35, ingawa inabaki nafasi ya pili ikizidiwa pointi tano na Arsenal baada ya wote kucheza mechi 15, wakati Leeds United inabaki na pointi zake 15 za mechi 15 nafasi ya 15.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment