MSHAMBULIAJI Mreno, Cristiano Ronaldo amejiunga na Al-Nassr ya Saudi Arabia kama mchezaji huru baada ya kuachana na Manchester United mwezi Novemba.
Ronaldo ambaye atakuwa analipwa kiasi cha Pauni Milioni 175 kwa mwaka, anakwenda kucheza Ligi moja na nyota Mtanzania, Simon Msuva ambaye anachezea klabu ya Al-Qadsiah.
0 comments:
Post a Comment