Mabao ya Tanzania Prisons yamefungwa na Zabona Khamis dakika ya tatu na Samson Mbangula dakika ya 78 na kwa ushindi huo wanafikisha pointi 18 katika mchezo wa 17 na kupanda kwa nafasi moja hadi ya 11.
Kwa upande wao, Dodoma Jiji wanateremkia nafasi ya 12 wakizidiwa tu wastani wa mabao na Prisons baada ya wote kucheza mechi 17.
0 comments:
Post a Comment