• HABARI MPYA

    Monday, December 12, 2022

    SIMBA SC YAPANGWA NA RAJA, HOROYA NA VIPERS YA UGANDA


    TIMU ya Simba SC ya Tanzania imepangwa Kundi C pamoja na Raja Casablanca ya Morocco, Horoya ya Guinea na Vipers ya Uganda katika Hatua ya 16 Bora ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
    Kundi A kuna mabingwa watetezi, Wydad Athletic ya Morocco, Petro Atletico ya Angola, AS Vita ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).
    Kundi B kuna Al Ahly ya Misri, Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini, El Hilal ya Sudan na Cotón Sport ya Cameroon, wakati Kundi D zipo Esperance ya Tunisia, Zamalek ya Misri, CR Belouizdad ya Algeria na El Merreikh ya Sudan.
    *CAF Champions League*
    Group C
    1. Raja Casablanca 🇲🇦
    2. Horoya 🇬🇳
    3. Simba 🇹🇿
    4. Vipers 🇺🇬

    *MD1: 10-11.02.23*
    Raja Casablanca v Vipers
    Horoya v Simba

    *MD2: 17-18.02.23*
    Simba v Raja Casablanca
    Vipers v Horoya

    *MD3: 24-25.02.23*
    Raja Casablanca v Horoya
    Vipers v Simba

    *MD4: 07-08.03.23*
    Horoya v Raja Casablanca
    Simba v Vipers

    *MD5: 17-18.03.23*
    Vipers v Raja Casablanca
    Simba v Horoya

    *MD6: 31.03-01.04.23*
    Raja Casablanca v Simba
    Horoya v Vipers
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA SC YAPANGWA NA RAJA, HOROYA NA VIPERS YA UGANDA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top