// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
KAGERA SUGAR YATOA SARE 2-2 NA AZAM FC KAITABA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEKAGERA SUGAR YATOA SARE 2-2 NA AZAM FC KAITABA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
WENYEJI, Kagera Sugar wamelazimishwa sare ya 2-2 na Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba. Mabao ya Kagera Sugar yamefungwa na Yussuf Mhilu dakika ya 12 na Meshack Abraham dakika ya 62, wakati ya Azam FC yamefungwa na Iddi Suleiman’l ‘Nado’ dakika ya 68 na Mkongo, Idris Mbombo dakika ya 87. Kwa matokeo hayo, Azam FC inafikisha pointi 36 katika mchezo wa 16, ingawa inabaki nafasi ya pili, ikizidiwa pointi mbili na mabingwa watetezi, Yanga ambao pia wana mechi moja mkononi. Kwa upande wao, Kagera Sugar wanabaki na pointi zao 22 za mechi 19 nafasi ya saba.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment