• HABARI MPYA

    Saturday, December 24, 2022

    SIMBA SC YAMSAJILI NTIBANZOKIZA KUTOKA GEITA GOLD


    KLABU ya Simba imetangaza kumsajili kiungo mkongwe Mrundi, Said Ntibanzokiza kutoka Geita Gold, akiwa mchezaji wake wa kwanza kabisa mpya dirisha hili dogo.

    Ntibanzokiza amecheza Geita Gold kwa nusu msimu baada ya kuondoka kwa mahasimu wa Simba, Yanga SC ambako alidumu kwa misimu miwili.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA SC YAMSAJILI NTIBANZOKIZA KUTOKA GEITA GOLD Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top