Mabao ya Ihefu SC yamefungwa na Obrey Chirwa dakika ya 85 na Michael Aidan aliyejifunga dakika ya 90.
Kwa matokeo hayo, Ihefu wanafikisha pointi 14 katika mchezo wa 16 na kusogea nafasi ya 14, wakati Ruvu inabaki nafasi ya 15 na pointi zake 11 za mechi 16 pia.
0 comments:
Post a Comment